Psalms 88:1

Kilio Kwa Ajili Ya Kuomba Msaada

Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi.

1 aEe Bwana, Mungu uniokoaye,
nimelia mbele zako usiku na mchana.
Copyright information for SwhNEN